Aisha's kitchen
Aisha's kitchen
  • Видео 31
  • Просмотров 1 077 958

Видео

SAMAKI Wa VITUNGU//Jinsi ya kupika samaki wa Vitungu taamuuu mnoo😋
Просмотров 2,3 тыс.Месяц назад
SAMAKI Wa VITUNGU//Jinsi ya kupika samaki wa Vitungu taamuuu mnoo😋
jinsi ya kupika chapati za maji laini zenye maziwa na mayai/Mikate ya maji//how to make Crepes 😋
Просмотров 976Месяц назад
INGREDIENTS : *1.5 CUP ALL PURPOSE FLOUR *1 TBSP SUGAR *1TSP SALT *1TSP VANILLA ESSENCE *2EGGS *300ML MILK *300ML WATER *OIL OR BUTTER
Jinsi ya kupika mboga za Majani na nyama//how to cook spinach and meat
Просмотров 1,2 тыс.2 месяца назад
INGREDIENTS : * Meat half kg * Spinach * Coconut cream * 1 tomato * 1tbsp tomato pasta * 1 larg onion * 2 small carrots * Garlic and beef cube * oil Boil meat with ginger garlic paste,salt and lemon juice before start cooking Rice: * Half kg rice * 6 cardamon * 1 cinnamon stick * salt and oil * water and coconut cream( but coconut cream is optional)
Beef samoosa//Jinsi ya kupika sambusa za nyama tamm mnoo
Просмотров 1,8 тыс.4 месяца назад
INGREDIENTS : Half kg Mince meat 3 big red onions 1 cup coriander leaves 2 tbsp all purpose flour 1 tsp coriander powder 1/2 tsp turmeric 1 tsp cumin powdr 1 tsp black pepper 1tsp Garam masala 1tbsp chilli (optional) 1 tbsp ginger garlic paste Salt to taste Lemon juice Oil
Makange ya kuku//jinsi yakupika makange ya kuku wakisasa😋😍
Просмотров 9146 месяцев назад
Makange ya kuku//jinsi yakupika makange ya kuku wakisasa😋😍
BEEF PILAO//Siri ya kupika pilao ya nyama tamu sana na rahisi mno
Просмотров 7 тыс.6 месяцев назад
Ingredients: 1 kg beef 1 kg rice 3 larg onions 1 big tomato 3 Potetoes 4-5 tsp pilao spices 1 tsp garam masala 1 tsp whole cumin 3 maggi cube or any beef cube Salt Coriander leaves Raisen Cooking oil Water Mahitaji: Nyama kilo1 Mchele kilo1 Vitungu v 3 vi kubwa kiasi Nyanya 1kubwa Viazi v 3 vya kiasi Vjko 4 hadi 5 vya pilao masala Kijko 1 cha chai garam masala Kijko 1 cha chai binzari nyembamba...
jinsi ya kupika chapati laini na zenye kuchambuka vizuri kwa njia rahisi😍😍
Просмотров 1 млн6 месяцев назад
INGREDIENTS(Mahitaji) : Unga wa ngano nusu kilo Maji Siagi, butter ao blue band Chumvi kijiko cha chai
Mahamri/Mandazi ya nyumbani mataam Sana kwa njia rahisi
Просмотров 14 тыс.7 месяцев назад
Mahitaji: Unga wa ngano nusu kilo Maziwa nusu lita Sukari vijko 3 vikubwa Chumvi 1/2 kjko cha chai Hamira kjko 1 cha chakula Hiliki kjko 1 cha chai Butter, blue band kijiko 1 cha chakula Mafuta ya kupikia
Jinsi yakupika pili pili ya kukaanga
Просмотров 1,3 тыс.7 месяцев назад
INGREDIENTS: Pili pili za mwendo kasi Tomate 1/2 Kitungu nusu Vitungu swaum punje 10 kubwa kubwa kiasi Tangawizi Mafuta Tomate paste 50g Maggi 4 Vinegar vijiko 8 hadi 10 Limao kubwa nusu Curry powder 1/2tsp Chumvi Hoho robo
Jinsi yakutengeneza juice ya Embe na Nanasi taamu saana//Mango and pineapple juice
Просмотров 5 тыс.8 месяцев назад
Mahitaji: Embe 2 Nanasi nusu Maji lita Sukari Tangawizi Ingredients: 2 mangoes 1/2 pineapple Watet Sugar Ginger
MEATBALLS CURRY//Jinsi yakupika meatballs ao boulettes za nazi taamu san😋😍
Просмотров 1,5 тыс.8 месяцев назад
MEATBALLS CURRY//Jinsi yakupika meatballs ao boulettes za nazi taamu san😋😍
jinsi yakupika tambi za nazi na zabibu kavu
Просмотров 8098 месяцев назад
jinsi yakupika tambi za nazi na zabibu kavu
Jinsi ya kupika samaki wa nazi mtamu sana😘😍
Просмотров 8299 месяцев назад
Jinsi ya kupika samaki wa nazi mtamu sana😘😍
Beef curry//Jinsi yakupika rost/Mchuzi wa Nyama na Viazi bila Kutumia nyanya
Просмотров 80410 месяцев назад
Beef curry//Jinsi yakupika rost/Mchuzi wa Nyama na Viazi bila Kutumia nyanya
Macaroni salad😋hii salad ni taammmu mnoo tengeneza u enjoy
Просмотров 48610 месяцев назад
Macaroni salad😋hii salad ni taammmu mnoo tengeneza u enjoy
Juice ya carrots na machungwa(Orange carrots juice 🍊🥕)
Просмотров 95810 месяцев назад
Juice ya carrots na machungwa(Orange carrots juice 🍊🥕)
Beef biryani//Jinsi yakupika birian ya nyama kwa njia rahisi na Mtaamu sana
Просмотров 1,4 тыс.10 месяцев назад
Beef biryani//Jinsi yakupika birian ya nyama kwa njia rahisi na Mtaamu sana
Jinsi yakupika chapati za maji laini sana za carrot(Carrot Crepes with English subtitles)
Просмотров 10 тыс.11 месяцев назад
Jinsi yakupika chapati za maji laini sana za carrot(Carrot Crepes with English subtitles)
Jollof Rice//Jinsi yakupika jollof Rice Mtamu sana nawakuvutia
Просмотров 57411 месяцев назад
Jollof Rice//Jinsi yakupika jollof Rice Mtamu sana nawakuvutia
Mchuzi wa samaki/Jinsi yakupika Mchuzi mtamu wa Samaki//Aisha's kitchen
Просмотров 48611 месяцев назад
Mchuzi wa samaki/Jinsi yakupika Mchuzi mtamu wa Samaki//Aisha's kitchen
KAIMATI. jinsi yakupika kaimati za shira njee
Просмотров 1,2 тыс.11 месяцев назад
KAIMATI. jinsi yakupika kaimati za shira njee
jinsi yakupika pilao ya kuku kwa njia rahisi/swahili chicken pilao
Просмотров 59911 месяцев назад
jinsi yakupika pilao ya kuku kwa njia rahisi/swahili chicken pilao
jinsi yaku kaanga/kuchoma chipsi kwenye Air fry/perfect air-fryer French fries
Просмотров 75911 месяцев назад
jinsi yaku kaanga/kuchoma chipsi kwenye Air fry/perfect air-fryer French fries
Jinsi yakupika half cakes za kupasuka
Просмотров 69711 месяцев назад
Jinsi yakupika half cakes za kupasuka
Jinsi yakupika Mchuzi wa Nyama Mtaamu bila Kutumia mafuta
Просмотров 40511 месяцев назад
Jinsi yakupika Mchuzi wa Nyama Mtaamu bila Kutumia mafuta
How to make soft layered chapati/Soft chapati recipe
Просмотров 62311 месяцев назад
How to make soft layered chapati/Soft chapati recipe

Комментарии

  • @VivianFuraha
    @VivianFuraha 14 часов назад

    ❤❤❤

  • @somali_shorts-m
    @somali_shorts-m 18 часов назад

    Mansha allah 👍 subscribe

  • @user-ix9nd2jt8j
    @user-ix9nd2jt8j 4 дня назад

    Sijawahi kufeli kwenye kupika chapati

  • @OliverSade-w9y
    @OliverSade-w9y 5 дней назад

    Jamani nimependa tajalibu

  • @HajraAboubakar
    @HajraAboubakar 6 дней назад

    Allah akulipa bariki kipenzi nime jaribu kupik chapati kwa mda mrefu 😢 ila iv nime jikuta naweza kupik chapati kupitia ww ❤

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 3 дня назад

      Wooooww love honger sana na AMIIIINN pia shukran kipnz ❤❤❤❤

  • @user-nj4re9jz5e
    @user-nj4re9jz5e 6 дней назад

    Thanks hapo kwa layers kwa kweli umenisaidia

  • @AishaAlhabsi-oo4mf
    @AishaAlhabsi-oo4mf 8 дней назад

    Mbona chapati zangu zinakuwa ngumu na ninafanya ivyo

  • @Mapishi_TV
    @Mapishi_TV 8 дней назад

    Yummy, yaani siku nyingi sijala maini. Ngoja niyatafute.

  • @bernardmburu7656
    @bernardmburu7656 9 дней назад

    🙆🙆🙏🙏👍❤️

  • @user-wn8pl1rj2k
    @user-wn8pl1rj2k 9 дней назад

    Jmani ❤❤❤ sana na uzidi kutupa darasa hivyo hivyo

  • @DaudKwilasa-t9f
    @DaudKwilasa-t9f 10 дней назад

    Jins yakupik chapat laini

  • @LovelyBluebonnetFlowers-ui5ox
    @LovelyBluebonnetFlowers-ui5ox 12 дней назад

    Mbn maft hujaweka

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 3 дня назад

      Nimeweka kiasi dear mi huwa siamini kwenye kuweka Mafuta mengi njo unapata chapati nzuri

  • @user-ti4lg3ku8i
    @user-ti4lg3ku8i 13 дней назад

    Dada naomba unifuze kupika iyo chati

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 3 дня назад

      Karibu kipnz changu nipo kwa ajili yako❤❤

  • @GrolyGrassian
    @GrolyGrassian 14 дней назад

    😢 mama g kutoka mbez dar cjawai kutoboa kwenye upikaji wa chapati jmn

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 3 дня назад

      Pole San Mam g wangu jaribu tena natumai utaweza mamy❤❤

  • @johariramadhani922
    @johariramadhani922 14 дней назад

    hv kumbe unaweza pika maini bila kuyachemsha na yakaiva tu vzur??

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 14 дней назад

      Ndio kipnzi ukimenya hio ngozi ya juu maini yanakuwa laini na inakuwa haina haja ya kuchemsha,❤❤

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan 17 дней назад

    Super hot water is the only wizard for soft chapo

  • @EvalineKirui-e4v
    @EvalineKirui-e4v 17 дней назад

    Umetumia Maji moto au baridi?

  • @GiftCharles-j7d
    @GiftCharles-j7d 18 дней назад

    Au umeweka Amila ww

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 18 дней назад

      Hamira tena kipnz 😂😂😂kwanini unasema ivo 😂

  • @NewmanKirembo
    @NewmanKirembo 18 дней назад

    Hujatuambia maji ni moto au baridi

  • @ElizerAdenga
    @ElizerAdenga 19 дней назад

    asalam aleikum waharamatulahi waBARAKATU , mashallah 💓💞💞❤👌🖖💯

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 18 дней назад

      Walykum Salam warahmatullah wabarakatuh, TabarakaAllah kipnzi shukran ❤❤❤

  • @vincentmanyili1207
    @vincentmanyili1207 19 дней назад

    Maji ya moto au yabalidi

  • @NoelaAbraham-lb9eh
    @NoelaAbraham-lb9eh 19 дней назад

    Waooo jaman mpaka Raha nataman nijue vizur kupika chapat jaman coz mm nikipika huwa zinakuw ngumu siku nikijua kupika laini nitafurah sana

  • @MamaHappy-v6i
    @MamaHappy-v6i 21 день назад

    Asante kama Sina siagi naweza kutumia burubendi

  • @jacklinekenyanya9352
    @jacklinekenyanya9352 22 дня назад

    Njia rahisi kweli nitajaribu

  • @NdikumanaInnocent
    @NdikumanaInnocent 22 дня назад

    Nampenda kujua kupik chapati

  • @khadijasaid4046
    @khadijasaid4046 23 дня назад

    Mashallah 🥰

  • @tbirdbird4431
    @tbirdbird4431 24 дня назад

    I tried and let me tell you😮they were the most soft,layered,fluffy chapatis have ever eaten made by my hands.i used very hot water.thank you Aisha

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 22 дня назад

      Wooooww Congratulations dear ❤❤happy to hear that from you 😍😘thanks for the feedback ❤❤

  • @gwantwamwamwendesi6139
    @gwantwamwamwendesi6139 24 дня назад

    Vuguvugu

  • @saumumunisi8013
    @saumumunisi8013 25 дней назад

    Na mimi leo ntaenda kupika kwa mfano wako nione. Asante kwa kisomo

  • @leah606
    @leah606 26 дней назад

    Unatumia maji moto au baridi

  • @murtazabandali5609
    @murtazabandali5609 27 дней назад

    Nime penda.

  • @Oliver-d7e
    @Oliver-d7e 27 дней назад

    Nzuri sana jamani ❤❤❤❤❤❤

  • @agnesmwanyae1704
    @agnesmwanyae1704 27 дней назад

    Maji yamechemka?

  • @alicesombe7562
    @alicesombe7562 28 дней назад

    Simply look sweet, congratulations

  • @gracemuhindi5369
    @gracemuhindi5369 28 дней назад

    Maji ni moto ama balidi?😊

  • @Myrecipes-s9x
    @Myrecipes-s9x 29 дней назад

    Thanks for sharing ❤❤❤❤yummy

  • @vincentoruko
    @vincentoruko Месяц назад

    Fantastic🎉🎉

  • @ChristineAkechOdhiambo
    @ChristineAkechOdhiambo Месяц назад

    Ni chapati nzuri daima,swali langu ni nusu unga unatumia maji kiasi gani

  • @sheillalotiro339
    @sheillalotiro339 Месяц назад

    M

  • @SelinaLagat
    @SelinaLagat Месяц назад

    Looks very nice,I m trying too

  • @Mapishi_TV
    @Mapishi_TV Месяц назад

    Yummy, samaki anatamanisha😋

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza Месяц назад

      Yan lazy day hii kitu huniokolea muda sana😂😂shukran dear ❤❤

    • @Mapishi_TV
      @Mapishi_TV Месяц назад

      @@AishaManirakiza kabisaa ni chapchap samaki tayari

  • @sylvianyaboke8452
    @sylvianyaboke8452 Месяц назад

    Maji ni baridi ama warm

  • @Apu-y9s
    @Apu-y9s Месяц назад

    Una darasa? Nije nijifunze

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 22 дня назад

      Hapana dear sina darasa ila naweza kkuelekeza vyema kama ukinitafuta❤❤❤

    • @Apu-y9s
      @Apu-y9s 22 дня назад

      Nakupata wapi sasa

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 22 дня назад

      Email address yangu ipo description mpendwa

  • @liliankawira-d8v
    @liliankawira-d8v Месяц назад

    Nimependa Sana dada yangu ,lakini sijui kupika chapati na watoto wangu wanapenda Sana chapati Sana

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza 22 дня назад

      Mbona rahisi tu kipnzi jaribu utaweza tu naimani, 😍😘ao ni tumie ujumbe ntakusaidia

  • @NaziifahHabibu
    @NaziifahHabibu Месяц назад

    Masha Allah yummie

  • @emmanuelkiongo2874
    @emmanuelkiongo2874 Месяц назад

    Naenda kupika Leo Leo.shukrani

  • @laleinemirjangi1930
    @laleinemirjangi1930 Месяц назад

    Unaweza ku freez chapati?

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza Месяц назад

      Ndio kipnzi inaweza kuka hata mwezi kam ukijuwa njia sahihi yaku hifadhii

  • @laleinemirjangi1930
    @laleinemirjangi1930 Месяц назад

    Wow meilleur chef nasikia chapati iko na mkundu? Hahaha sija elewa darling mkundu ni io kukunjaaa ? Pole Lakini just asking dear

    • @AishaManirakiza
      @AishaManirakiza Месяц назад

      😂😂😂😂Ni mkunjoo dear 😂😂😂😂😂😂

  • @wangaremuchina4384
    @wangaremuchina4384 Месяц назад

    Chapati sinaka poa sana

  • @Soul-sista.
    @Soul-sista. Месяц назад

    Je unatumia maji baridi au moto?